Judges 14:18

18Siku ya saba kabla ya jua kutua, watu wa mji wakamwambia Samsoni,

“Ni nini kitamu kama asali?
Ni nini chenye nguvu kama simba?”
Samsoni akawaambia,

“Kama hamkulima na mtamba wangu,
hamngeweza kufumbua
kitendawili changu.”
Copyright information for SwhNEN